Wakamwambia wazee wote na watu wote, Usisikie, wala usikubali.
Basi ujitunze, isije hasira ikakuvuta hata ukafanya mzaha; Wala usikubali ukuu wa ukombozi ukugeuze.
Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali.
Basi wewe usikubali; kwa maana watu zaidi ya arobaini wanamwotea, wamejifunga kwa kiapo wasile wala wasinywe hata watakapomwua; nao sasa wako tayari, wakiitazamia ahadi kwako.
Usikubali mashitaka juu ya mzee, ila kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu.