Skip to Content

"usimame"

8 mara katika SUV

Bwana akamwambia Musa, Inuka asubuhi na mapema usimame mbele ya Farao; angalia! Atoka aende majini; kamwambie, Bwana asema, Wape watu wangu ruhusa waende zao, ili wanitumikie mimi.

Naye mfalme akasema, Geuka, usimame hapa. Akageuka, akasimama.

Kwamba waweza, nijibu; Yapange maneno yako sawasawa mbele yangu, usimame.

Bwana, usimame, mwanadamu asipate nguvu, Mataifa wahukumiwe mbele zako.

Uishike ngao na kigao, Usimame unisaidie.

Ee Mungu, usimame, ujitetee mwenyewe, Ukumbuke unavyotukanwa na mpumbavu mchana kutwa.

ili ufalme huo uwe duni usijiinue, lakini usimame kwa kulishika agano lake.

Lakini inuka, usimame kwa miguu yako, maana nimekutokea kwa sababu hii, nikuweke wewe uwe mtumishi na shahidi wa mambo haya uliyoyaona, na wa mambo ambayo katika hayo nitajidhihirisha kwako;