Skip to Content

"usimpe"

6 mara katika SUV

Usimpe fedha yako upate riba, wala usimpe vyakula vyako kwa kujitakia faida.

binti yako usimpe mwanawe mume, wala usimtwalie mwanao mume binti yake.

Jitunze, msiwe na neno lisilofaa moyoni mwako, kusema, Umekaribia mwaka wa saba, mwaka wa maachilio; jicho lako likawa ovu juu ya nduguyo usimpe kitu; naye akamlilia Bwana juu yako, ikawa ni dhambi kwako.

Usimpe mnyama mkali nafsi ya hua wako; Usiusahau milele uhai wa watu wako walioonewa.

Nimwambiapo mtu mbaya, Hakika utakufa; wewe usimpe maonyo, wala husemi na huyo mtu mbaya ili kumwonya, kusudi aache njia yake mbaya na kujiokoa roho yake; mtu yule mbaya atakufa katika uovu wake; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.

Akuombaye, mpe; naye atakaye kukopa kwako, usimpe kisogo.