Skip to Content

"usiniache"

8 mara katika SUV

Usinifiche uso wako, Usijiepushe na mtumishi wako kwa hasira. Umekuwa msaada wangu, usinitupe, Wala usiniache, Ee Mungu wa wokovu wangu.

Wewe, Bwana, usiniache, Mungu wangu, usijitenge nami.

Uniponye kwa kunitoa matopeni, Wala usiniache nikazama. Na niponywe nao wanaonichukia, Na katika vilindi vya maji.

Nitazitii amri zako, Usiniache kabisa

Kwa moyo wangu wote nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na maagizo yako.

Unitegemeze sawasawa na ahadi yako, nikaishi, Wala usiniache niyaaibikie matumaini yangu.

Nimefanya hukumu na haki, Usiniache mikononi mwao wanaonionea.

Macho yangu yanakuelekea Wewe, MUNGU Bwana, Nimekukimbilia Wewe, usiniache nafsi yangu.