Usikasirike kwa sababu ya watenda mabaya, Usiwahusudu wafanyao ubatili.
Moyo wako usiwahusudu wenye dhambi; Bali mche Bwana mchana kutwa;
Usiwahusudu watu waovu, Wala usitamani kuwa pamoja nao;
Usikasirike kwa sababu ya watenda mabaya; Wala usiwahusudu wabaya;