Kwa maana imeandikwa, Furahi, wewe uliye tasa, usiyezaa; Paza sauti, ulie, wewe usiye na utungu; Maana watoto wake aliyeachwa pekee ni wengi Kuliko wa huyo aliye na mume.
Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?