Utafichwa na mapigo ya ulimi; Wala usiogope maangamizo yatakapokuja.
kwa sababu hiyo mimi nitafanya tena kazi ya ajabu kati ya watu hawa, kazi ya ajabu na mwujiza; na akili za watu wao wenye akili zitapotea, na ufahamu wa wenye busara wao utafichwa.
Tena utalewa, utafichwa; tena utatafuta ngome kwa sababu ya adui.