Mtakeni Bwana na nguvu zake; Utafuteni uso wake siku zote.
Mtakeni Bwana na nguvu zake, Utafuteni uso wake sikuzote.
Mtafuteni Bwana, enyi nyote mlio wanyenyekevu wa dunia, ninyi mliozitenda hukumu zake; itafuteni haki, utafuteni unyenyekevu; huenda mtafichwa katika siku ya hasira ya Bwana.
Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
Bali utafuteni ufalme wa Mungu, na hayo mtaongezewa.