Skip to Content

"utamtia"

3 mara katika SUV

Kisha utamvika Haruni mavazi matakatifu; nawe utamtia mafuta, na kumweka awe mtakatifu, ili apate kunitumikia katika kazi ya ukuhani.

Ukamwite Yese aje kwenye dhabihu, nami nitakuonyesha utakayotenda; nawe utamtia mafuta yule nitakayemtaja kwako.

Ambaye mkono wangu utakuwa thabiti kwake, Na mkono wangu utamtia nguvu.