Skip to Content

"utamwita"

3 mara katika SUV

Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.

Lakini yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mkeo Elisabeti atakuzalia mtoto mwanamume, na jina lake utamwita Yohana.

Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.