Skip to Content

"utatia"

5 mara katika SUV

Nawe utatia ndani yake sanduku la ushuhuda, nawe utalisitiri hilo sanduku kwa pazia.

Kisha utaliweka birika kati ya hema ya kukutania na hiyo madhabahu, nawe utatia maji ndani yake.

Nawe utatia mafuta juu yake, na kuweka ubani juu yake; ni sadaka ya unga.

Nawe utatia ubani safi juu ya kila mstari, ili uwe ukumbusho kwa hiyo mikate, sadaka ya kusongezwa kwa Bwana kwa moto.

Maana utatia makaa ya moto kichwani pake; Na Bwana atakupa thawabu.