Skip to Content

"utawahukumu"

3 mara katika SUV

Mataifa na washangilie, Naam, waimbe kwa furaha, Maana kwa haki utawahukumu watu, Na kuwaongoza mataifa walioko duniani.

Je! Utawahukumu, mwanadamu, utawahukumu? Uwajulishe machukizo ya baba zao;

Tena Bwana akaniambia, Mwanadamu, utawahukumu Ohola na Oholiba? Basi uwahubiri machukizo yao.