2 mara katika SUV
Daudi akauliza kwa Bwana, akasema, Je! Nikiwafuata jeshi hili, nitawapata? Naye akamjibu, Fuata; kwa kuwa hakika utawapata, nawe hukosi utawapokonya wote.
Mkono wako utawapata adui zako wote, Mkono wako wa kuume utawapata wanaokuchukia.