Giza lote linawekwa kwa ajili ya hazina zake; Moto ambao haukuvuviwa na mtu utamla; Utayateketeza yaliyosalia hemani mwake.
Nami nitawasha moto katika ukuta wa Dameski, nao utayateketeza majumba ya Ben-hadadi.
lakini nitapeleka moto uingie katika nyumba ya Hazaeli, nao utayateketeza majumba ya Ben-hadadi.
lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake.
lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Tiro, nao utayateketeza majumba yake.
lakini nitapeleka moto juu ya Temani, nao utayateketeza majumba ya Bosra.
lakini nitawasha moto katika ukuta wa Raba, nao utayateketeza majumba yake; pamoja na kupiga kelele siku ya vita, pamoja na tufani katika siku ya chamchela;
lakini nitapeleka moto juu ya Moabu, nao utayateketeza majumba ya Keriothi; na Moabu atakufa pamoja na mshindo, na kelele, na sauti ya tarumbeta;
lakini nitapeleka moto juu ya Yuda, nao utayateketeza majumba ya Yerusalemu.