Labani akamwambia Yakobo, Tazama chungu hii utazame na nguzo niliyoitia kati ya mimi na wewe.
Akamwambia mtumishi wake, Kwea sasa, utazame upande wa bahari. Akakwea, akatazama, na kusema, Hakuna kitu. Naye akanena, Enenda tena mara saba.
Utazame teso langu na taabu yangu; Unisamehe dhambi zangu zote.
Sikia, binti, utazame, utege sikio lako, Uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako.
Ee Mungu wa majeshi, tunakusihi, urudi, Utazame toka juu uone, uujilie mzabibu huu.
Utazame mkono wa kuume ukaone, Kwa maana sina mtu anijuaye. Makimbilio yamenipotea, Hakuna wa kunitunza roho.
Ee Bwana, kumbuka yaliyotupata; Utazame na kuiona aibu yetu.