Ee Bwana, usikie maombi yangu, Utege sikio lako niliapo, Usiyanyamalie machozi yangu. Kwa maana mimi ni mgeni wako, Msafiri kama baba zangu wote.
Sikia, binti, utazame, utege sikio lako, Uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako.
Ee Bwana, utege sikio lako unijibu, Maana mimi ni maskini na mhitaji