Skip to Content

"utelezi"

3 mara katika SUV

Njia yao na iwe giza na utelezi, Malaika wa Bwana akiwafuatia.

Akanipandisha toka shimo la uharibifu, Toka udongo wa utelezi; Akaisimamisha miguu yangu mwambani, Akaziimarisha hatua zangu.

Hakika Wewe huwaweka penye utelezi, Huwaangusha mpaka palipoharibika.