Njia yao na iwe giza na utelezi, Malaika wa Bwana akiwafuatia.
Akanipandisha toka shimo la uharibifu, Toka udongo wa utelezi; Akaisimamisha miguu yangu mwambani, Akaziimarisha hatua zangu.
Hakika Wewe huwaweka penye utelezi, Huwaangusha mpaka palipoharibika.