Skip to Content

"utoto"

5 mara katika SUV

Amtunduiaye mtumwa wake tangu utoto, Mwisho wake atakuwa ni mwanawe.

Akamwuliza babaye, Amepatwa na haya tangu lini? Akasema, Tangu utoto.

Akamwambia, Mwalimu, haya yote nimeyashika tangu utoto wangu.

Akasema, Hayo yote nimeyashika tangu utoto wangu.

na ya kuwa tangu utoto umeyajua maandiko matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.