Skip to Content

"utulivu"

8 mara katika SUV

Kwa sababu hakujua utulivu ndani yake, Hataponya cho chote katika hicho alichokifurahia.

Akitoa utulivu yeye, ni nani awezaye kuhukumia makosa? Akificha uso wake, ni nani awezaye kumtazama? Kama hufanyiwa taifa, au mtu mmoja, ni sawasawa;

Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza.

Heri konzi moja pamoja na utulivu, Kuliko konzi mbili pamoja na taabu;

Na kazi ya haki itakuwa amani; na mazao ya haki yatakuwa ni utulivu na matumaini daima.

Na watu wangu watakaa katika kao la amani; na katika maskani zilizo salama, na katika mahali pa kupumzikia penye utulivu.

Basi twawaagiza hao, na kuwaonya katika Bwana Yesu Kristo, watende kazi kwa utulivu na kula chakula chao wenyewe.

bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.