Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu sisi, Kwa maana tumeshiba dharau.
Na tazama, vipofu wawili wameketi kando ya njia, nao waliposikia ya kwamba Yesu anapita, walipaza sauti, wakisema, Uturehemu, Bwana, mwana wa Daudi!
Mkutano wakawakaripia, wanyamaze. Lakini wao wakazidi kupaza sauti, wakisema, Uturehemu, Bwana, mwana wa Daudi!
wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu!