Hata kulipokuwa jioni, wanafunzi wake walimwendea, wakasema, Mahali hapa ni nyika tupu, na saa imekwisha pita; uwaage makutano, waende zao vijijini, wakajinunulie vyakula.
uwaage watu hawa, ili waende zao mashambani na vijijini kandokando, wakajinunulie chakula.