Skip to Content

"uwatende"

2 mara katika SUV

Uwatende kama Midiani, kama Sisera, Kama Yabini, penye kijito Kishoni.

Lakini wewe, Bwana, unajua mashauri yao yote juu yangu, ya kuniua; usiwasamehe uovu wao, wala usifute dhambi yao mbele za macho yako; bali wakwazwe mbele zako; uwatende mambo wakati wa hasira yako.