Skip to Content

"uyasikie"

8 mara katika SUV

Macho yako yafumbuke na kuielekea nyumba hii usiku na mchana, mahali hapa ulipopataja, ukasema, Hapa ndipo litakapokuwapo jina langu; ili uyasikie maombi ya mtumwa wako aombapo akikabili mahali hapa.

basi, uyasikie huko mbinguni maombi yao na dua yao, ukaitetee haki yao.

basi, uyasikie maombi yao na dua yao, huko mbinguni, makao yako, ukaitetee haki yao;

Tega sikio lako, Ee Bwana, usikie; fumbua macho yako, Ee Bwana, uone; uyasikie maneno ya Senakeribu, ambayo amemtuma mtu aje nayo ili kumtukana Mungu aliye hai.

Ee Mungu, uyasikie maombi yangu, Uyasikilize maneno ya kinywa changu.

Bwana, Mungu wa majeshi, uyasikie maombi yangu, Ee Mungu wa Yakobo, usikilize,

Ee Bwana, uyasikie maombi yangu; Uisikilize sauti ya dua zangu.

Tega sikio lako uyasikie maneno ya wenye hekima, na kuuelekeza moyo wako kwa maarifa yangu;