Skip to Content

"uyasikilize"

4 mara katika SUV

Akamwangukia miguuni pake, akasema, Juu yangu, bwana wangu, juu yangu mimi na uwe uovu; tafadhali mjakazi wako na anene masikioni mwako, nawe uyasikilize maneno ya mjakazi wako.

Ee Bwana, nakusihi, litege sikio lako, uyasikilize maombi ya mtumishi wako, na maombi ya watumishi wako, wanaofurahi kulicha jina lako; nakuomba sana; unifanikishe mimi, mtumishi wako, leo, ukanijalie rehema mbele ya mtu huyu. (Maana, nalikuwa mnyweshaji wa mfalme).

Ee Bwana, uyasikilize maneno yangu, Ukuangalie kutafakari kwangu.

Ee Mungu, uyasikie maombi yangu, Uyasikilize maneno ya kinywa changu.