Skip to Content

"uzieli"

15 mara katika SUV

Na wana wa Kohathi; ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli; na miaka ya maisha ya huyo Kohathi ilikuwa ni miaka mia na thelathini na mitatu.

Na wana wa Uzieli; ni Mishaeli, na Elisafani, na Sithri.

Musa akawaita Mishaeli na Elisafani, wana wa Uzieli mjombaye Haruni, na kuwaambia, Njoni karibu, mwachukue hawa ndugu zenu, mkawaondoe hapa mbele ya maskani, mwende nao nje ya marago.

Na baadhi yao, maana ya hao wana wa Simeoni, watu mia tano, wakaenda mpaka mlima Seiri, na majemadari wao walikuwa Pelatia, na Nearia, na Refaya, na Uzieli, wana wa Ishi.

Na wana wa Kohathi; Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.

Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.

Na wana wa Bela; Esboni, na Uzi, na Uzieli, na Yerimothi, na Iri, watano; wakuu wa mbari za baba zao, watu hodari wa vita; nao wakahesabiwa kwa vizazi vyao watu ishirini na mbili elfu na thelathini na wanne.

wa wana wa Uzieli; Aminadabu mkuu wao, na nduguze mia na kumi na wawili.

Wana wa Kohathi; Amramu, Ishari, Hebroni, na Uzieli, watu wanne.

Wana wa Uzieli; Mika mkuu wao, na Ishia wa pili.

Wana wa Uzieli, Mika; wa wana wa Mika, Shamiri.

Wa Hemani; wana wa Hemani; Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, na Romanti-ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri, Mahaziothi;

ya kumi na moja Uzieli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

na wa wana wa Hemani, Yehueli na Shimei; na wa wana wa Yeduthuni, Shemaya na Uzieli.

Na baada yao akafanyiza Uzieli, mwana wa Harhaya, mmoja wa mafundi wa dhahabu. Na baada yake akafanyiza Hanania, mmoja wa mafundi wa manukato, nao wakaujengea Yerusalemu buruji mpaka ule ukuta mpana.