Waimbao na wachezao na waseme, Visima vyangu vyote vimo mwako.
Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana na yeye Aliye juu.
Nyavu zao hazitakuwa mavazi, wala hawatajifunika kwa kazi zao; kazi zao ni kazi za uovu, na vitendo vya udhalimu vimo mikononi mwao.
Katika siku ile, aliye juu ya dari, na vyombo vyake vimo ndani ya nyumba, asishuke ili kuvitwaa; na kadhalika, aliye shambani asirejee nyuma.