Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.
Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.
Ole wenu viongozi vipofu, ninyi msemao, Mtu atakayeapa kwa hekalu, si kitu; bali mtu atakayeapa kwa dhahabu ya hekalu, amejifunga.
Viongozi vipofu, wenye kuchuja mbu na kumeza ngamia.