Skip to Content

"viongozi"

4 mara katika SUV

Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.

Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.

Ole wenu viongozi vipofu, ninyi msemao, Mtu atakayeapa kwa hekalu, si kitu; bali mtu atakayeapa kwa dhahabu ya hekalu, amejifunga.

Viongozi vipofu, wenye kuchuja mbu na kumeza ngamia.