Skip to Content

"visogo"

6 mara katika SUV

Ee Bwana, niseme nini baada ya Israeli kuwapa visogo adui zao?

Ndiposa wana wa Israeli hawawezi kusimama mbele ya adui zao; wakawapa visogo adui zao, kwa sababu wamelaaniwa; mimi sitakuwa pamoja nanyi tena, msipokiharibu kitu kile mlicho nacho kilichowekwa wakfu.

Naam, adui zangu umewafanya wanipe visogo, Ili niwakatilie mbali wanaonichukia.

Naam, adui zangu umewafanya wanipe visogo, Nao walionichukia nimewakatilia mbali.

Nami nitawatawanya mbele ya adui, kama kwa upepo wa mashariki; nami nitaviangalia visogo vyao, wala si nyuso zao, siku ya msiba wao.

Tena wamenigeuzia visogo vyao, wala si nyuso zao; ingawa naliwafundisha, niliondoka mapema na kuwafundisha, lakini hawakusikiliza ili wapate mafundisho.