Skip to Content

"waheshimu"

6 mara katika SUV

Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.

Waheshimu baba yako na mama yako, na, Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Maana Musa alisema, Waheshimu baba yako na mama yako, na, Amtukanaye babaye au mamaye kufa na afe.

Wazijua amri, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudie uongo, Usidanganye, Waheshimu baba yako na mama yako.

Wazijua amri; Usizini, Usiue, Usiibe, Usishuhudie uongo, Waheshimu baba yako na mama yako.

Waheshimu baba yako na mama yako; amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi,