Watumwa wa Isaka wakachimba katika lile bonde, wakapata kisima cha maji yanayobubujika.
Wakachimba kisima kingine, wakagombania na hicho tena. Akakiita jina lake Sitna.
Akajenga madhabahu huko, akaliitia jina la Bwana. Akapiga hema yake huko, na watumwa wa Isaka wakachimba kisima huko.
Wamisri wote wakachimba-chimba kando ya mto ili wapate maji ya kunywa; maana, hawakuweza kuyanywa yale maji ya mtoni.