Mungu huwakalisha wapweke nyumbani; Huwatoa wafungwa wakae hali ya kufanikiwa; Bali wakaidi hukaa katika nchi kavu.
Wewe umepaa juu, umeteka mateka, Umepewa vipawa katikati ya wanadamu; Naam, hata na wakaidi, Bwana Mungu akae nao.
Waliopotoka katika njia zao; Walio wakaidi katika mapito yao.
wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;