Skip to Content

"wakamsihi"

8 mara katika SUV

nao wakamsihi waguse hata pindo la vazi lake tu; na wote waliogusa wakaponywa kabisa.

Pepo wote wakamsihi, wakisema, Tupeleke katika nguruwe, tupate kuwaingia wao.

Na kila alikokwenda, akiingia vijijini, au mijini, au mashambani, wakawaweka wagonjwa sokoni, wakamsihi waguse ngaa pindo la vazi lake; nao wote waliomgusa wakapona.

Wakamletea kiziwi, naye ni mwenye utasi, wakamsihi amwekee mikono.

Wakafika Bethsaida, wakamletea kipofu, wakamsihi amguse.

Wakamsihi asiwaamuru watoke kwenda shimoni.

Basi, hapo palikuwa na kundi la nguruwe wengi wakilisha mlimani; wakamsihi awape ruhusa kuwaingia wale. Akawapa ruhusa.

Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabi, ule.