Wakamsulibisha, wakagawa mavazi yake, wakayapigia kura kila mtu atwae nini.
Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha.
tena jinsi wakuu wa makuhani na wakubwa wetu walivyomtia katika hukumu ya kufa, wakamsulibisha.
Wakamsulibisha huko, na wengine wawili pamoja naye, mmoja huku na mmoja huku, na Yesu katikati.