Basi wakamtandikia Absalomu hema juu ya nyumba darini; naye Absalomu akaingia kwa masuria ya babaye machoni pa Israeli wote.
Akawaambia wanawe, Nitandikieni punda. Wakamtandikia punda, naye akampanda.
Akawaambia wanawe, akasema, Nitandikieni punda. Wakamtandikia.