Israeli akaiona ile kazi kubwa aliyoifanya Bwana juu ya Wamisri, ndipo hao watu wakamcha Bwana, wakamwamini Bwana, na Musa mtumishi wake.
Na watu wengi katika mkutano wakamwamini; wakasema, Atakapokuja Kristo, je! Atafanya ishara nyingi zaidi kuliko hizi alizozifanya huyu?
Nao wengi wakamwamini huko.
maana kwa ajili yake wengi katika Wayahudi walijitenga, wakamwamini Yesu.
Ikajulikana katika mji mzima wa Yafa; watu wengi wakamwamini Bwana.