Skip to Content

"wakamweka"

6 mara katika SUV

Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa.

wakatuma watu wakamwondoa Yeremia katika uwanda wa walinzi, wakamweka katika mikono ya Gedalia, mwana wa Ahikamu, mwana wa Shafani, ili ampeleke nyumbani kwake; basi akakaa pamoja na hao watu.

Humo basi, kwa sababu ya Maandalio ya Wayahudi, wakamweka Yesu; maana lile kaburi lilikuwa karibu.

Ikawa siku zile akaugua, akafa; hata walipokwisha kumwosha, wakamweka orofani.

Hata walipokwisha kumaliza yote aliyoandikiwa, wakamtelemsha katika ule mti, wakamweka kaburini.

Na wale walipofika Kaisaria, na kumpa liwali ile barua, wakamweka Paulo mbele yake.