Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa.
wakatuma watu wakamwondoa Yeremia katika uwanda wa walinzi, wakamweka katika mikono ya Gedalia, mwana wa Ahikamu, mwana wa Shafani, ili ampeleke nyumbani kwake; basi akakaa pamoja na hao watu.
Humo basi, kwa sababu ya Maandalio ya Wayahudi, wakamweka Yesu; maana lile kaburi lilikuwa karibu.
Ikawa siku zile akaugua, akafa; hata walipokwisha kumwosha, wakamweka orofani.
Hata walipokwisha kumaliza yote aliyoandikiwa, wakamtelemsha katika ule mti, wakamweka kaburini.
Na wale walipofika Kaisaria, na kumpa liwali ile barua, wakamweka Paulo mbele yake.