Skip to Content

"wakasafiri"

62 mara katika SUV

Wana wa Israeli wakasafiri kutoka Ramesesi mpaka Sukothi, walipata hesabu yao kama watu sita mia elfu watu waume waliokwenda kwa miguu, bila kuhesabu watoto.

Wakasafiri kutoka Makelothi, wakapanga Tahathi.

Wana wa Israeli wakasafiri kwenda mbele, kwa safari zao kutoka jangwa la Sinai; na hilo wingu likakaa katika jangwa la Parani.

Nao wakasafiri kwanza kwa amri ya Bwana kwa mkono wa Musa.

Na maskani ilishushwa; na wana wa Gershoni, na wana wa Merari, walioichukua maskani, wakasafiri kwenda mbele.

Ndipo wakasafiri Wakohathi wenye kuvichukua vile vitu vitakatifu; na hao wengine wakaisimamisha maskani kabla hawajaja wao.

Ndivyo zilivyokuwa safari zao wana wa Israeli kwa majeshi: yao; nao wakasafiri kwenda mbele.

Basi wakasafiri kutoka penye mlima wa Bwana safari ya siku tatu; na sanduku la agano la Bwana likatangulia mbele yao mwendo wa siku tatu, ili kuwatafutia mahali pa kupumzika.

Baada ya hayo watu wakasafiri kutoka Haserothi, wakapanga kambi katika nyika ya Parani.

Kisha wakasafiri kutoka Kadeshi; wana wa Israeli, mkutano mzima, wakafikilia mlima wa Hori.

Wakasafiri kutoka mlima wa Hori kwa njia ya Bahari ya Shamu; ili kuizunguka nchi ya Edomu, watu wakafa moyo kwa sababu ya ile njia.

Kisha wana wa Israeli wakasafiri, wakapanga marago Obothi.

Wakasafiri kutoka Obothi, wakapanga Iye-abarimu, katika jangwa iliyoelekea Moabu, upande wa maawio ya jua.

Kutoka huko wakasafiri, wakapanga katika bonde la Zeredi.

Kutoka huko wakasafiri, wakapanga upande wa pili wa Arnoni, ulio jangwani, utokao katika mpaka wa Waamori; maana, Arnoni ndio mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.

Kutoka huko wakasafiri kwenda Beeri; ni kisima ambacho Bwana alimwambia Musa, Uwakutanishe watu, nami nitawapa maji.

Kisha wana wa Israeli wakasafiri na kupanga katika nchi tambarare za Moabu ng'ambo ya pili ya Yordani karibu ya Yeriko.

Wakasafiri kutoka Ramesesi mwezi wa kwanza, siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza; siku ya pili baada ya Pasaka, wana wa Israeli wakatoka kwa mkono wa nguvu mbele ya macho ya Wamisri wote,

Wana wa Israeli wakasafiri kutoka Ramesesi, wakapanga katika Sukothi.

Kisha wakasafiri kutoka Sukothi, wakapanga Ethamu, palipo katika mwisho wa nyika.

Wakasafiri kutoka Ethamu, na kurudi nyuma hata Pi-hahirothi palipokabili Baal-sefoni; wakapanga mbele ya Migdoli.

Wakasafiri kutoka hapo mbele ya Hahirothi, wakapita katikati ya bahari na kuingia jangwani; kisha wakaenda safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu, wakapanga Mara.

Wakasafiri kutoka Mara, wakafikilia Elimu; huko Elimu palikuwa na chemchemi za maji kumi na mbili, na mitende sabini; nao wakapanga hapo.

Wakasafiri kutoka Elimu wakapanga karibu na Bahari ya Shamu.

Wakasafiri kutoka Bahari ya Shamu, wakapanga katika nyika ya Sini.

Wakasafiri kutoka nyika ya Sini, wakapanga Dofka.

Wakasafiri kutoka Dofka, wakapanga Alushi.

Wakasafiri kutoka Alushi, wakapanga Refidimu, ambapo hapakuwa na maji ya watu kunywa.

Wakasafiri kutoka Refidimu, wakapanga katika nyika ya Sinai.

Wakasafiri kutoka nyika ya Sinai, wakapanga Kibroth-hataava.

Wakasafiri kutoka Kibroth-hataava, wakapanga Haserothi.

Wakasafiri kutoka Haserothi, wakapanga Rithma.

Wakasafiri kutoka Rithma, wakapanga Rimon-peresi.

Wakasafiri kutoka Rimon-peresi, wakapanga Libna.

Wakasafiri kutoka Libna, wakapanga Risa.

Wakasafiri kutoka Risa, wakapanga Keheletha.

Wakasafiri kutoka Keheletha, wakapanga katika mlima wa Sheferi

Wakasafiri kutoka huo mlima wa Sheferi, wakapanga Harada.

Wakasafiri kutoka Harada, wakapanga Makelothi.

Wakasafiri kutoka Tahathi wakapanga Tera.

Wakasafiri kutoka Tera, wakapanga Mithka.

Wakasafiri kutoka Mithka, wakapanga Hashmona.

Wakasafiri kutoka Hashmona, wakapanga Moserothi.

Wakasafiri kutoka Moserothi, wakapanga Bene-yakani.

Wakasafiri kutoka Bene-yakani, wakapanga Hor-hagidgadi.

Wakasafiri kutoka Hor-hagidgadi, wakapanga Yotbatha.

Wakasafiri kutoka Yotbatha, wakapanga Abrona.

Wakasafiri kutoka Abrona, wakapanga Esion-geberi.

Wakasafiri kutoka Esion-geberi, wakapanga katika nyika ya Sini (ni Kadeshi).

Wakasafiri kutoka Kadeshi wakapanga katika mlima wa Hori, katika mpaka wa nchi ya Edomu,

Nao wakasafiri kutoka mlima wa Hori, wakapanga Salmona.

Wakasafiri kutoka Salmona, wakapanga Punoni.

Wakasafiri kutoka Punoni, wakapanga Obothi.

Wakasafiri kutoka Obothi, wakapanga Iye-abarimu, katika mpaka wa Moabu.

Wakasafiri kutoka Iye-abarimu, wakapanga Dibon-gadi.

Wakasafiri kutoka Dibon-gadi, wakapanga Almon-diblathaimu.

Wakasafiri kutoka Almon-diblathaimu, wakapanga katika milima ya Abarimu, kukabili Nebo.

Wakasafiri kutoka hiyo milima ya Abarimu, wakapanga katika nchi tambarare za Moabu, karibu na mto wa Yordani, hapo Yeriko.

(Wana wa Israeli wakasafiri kutoka visima vya Bene-Yaakani kwenda Mosera; Haruni akafa huko, akazikwa huko; na Eleazari mwanawe alitumika utumishi wa ukuhani badala yake.

Wakasafiri kutoka huko kwenda Gudgoda; wakatoka Gudgoda wakaenda Yotbatha, nayo ni nchi ya vijito vya maji.

Basi watu hao, wakiisha kupelekwa na Roho Mtakatifu wakatelemkia Seleukia, na kutoka huko wakasafiri baharini hata Kipro.

Kisha Paulo na wenziwe wakang'oa nanga wakasafiri kutoka Pafo, wakafika Perge katika Pamfilia. Yohana akawaacha akarejea Yerusalemu.