Na walipokwisha kumwita mfalme, wakatokewa na Eliakimu, mwana wa Hilkia, aliyekuwa msimamizi wa nyumba ya mfalme, na Shebna, mwandishi, na Yoa, mwana wa Asafu, mwenye kuandika tarehe.
Na tazama, wakatokewa na Musa na Eliya, wakizungumza naye.
Wakatokewa na Eliya pamoja na Musa, nao walikuwa wakizungumza na Yesu.