Skip to Content

"wakatumikia"

3 mara katika SUV

wakaenda wakatumikia miungu mingine, wakaiabudu miungu wasiyoijua, asiyowapa yeye;

wakatumikia sanamu, ambazo Bwana aliwakataza, akasema, Msitende jambo hili.

Wakaiacha nyumba ya Bwana, Mungu wa baba zao; wakatumikia maashera na sanamu; ghadhabu ikawajia Yuda na Yerusalemu kwa sababu ya hiyo hatia yao.