Skip to Content

"wakawakusanya"

6 mara katika SUV

Musa na Haruni wakaenda, wakawakusanya wazee wote wa watu wa Israeli.

Wakawakusanya chungu chungu; na nchi ikatoa uvundo.

Musa na Haruni wakawakusanya kusanyiko mbele ya mwamba, akawaambia, Sikieni sasa, enyi waasi; je! Tuwatokezee maji katika mwamba huu?

Wakazunguka katikati ya Yuda, wakawakusanya Walawi kutoka katika miji yote ya Yuda, na wakuu wa nyumba za mababa wa Israeli, wakaja Yerusalemu.

Wakawakusanya ndugu zao, wakajitakasa, wakaingia, kama alivyoamuru mfalme kwa maneno ya Bwana, ili waisafishe nyumba ya Bwana.

Wakawakusanya hata mahali paitwapo kwa Kiebrania, Har-Magedoni.