Skip to Content

"wakawatakasa"

2 mara katika SUV

Makuhani na Walawi wakajitakasa, nao wakawatakasa watu, na malango, na ukuta.

Nao watakapotoka kuingia ua wa nje, yaani, ua wa nje wa watu, ndipo watakapoyavua mavazi yao waliyovaa katika huduma yao, na kuyaweka katika vile vyumba vitakatifu, nao watavaa mavazi mengine, wasije wakawatakasa watu kwa mavazi yao.