Basi Wayahudi wakawapiga adui zao wote mapigo ya upanga, na machinjo, na maangamizo, wakawatenda kama wapendavyo wale waliowachukia.
Akawatuma tena watumwa wengine wengi kuliko wa kwanza wakawatenda vile vile.
nao waliosalia wakawakamata watumwa wake, wakawatenda jeuri, na kuwaua.