Watoto wake wakiongezeka ni kwa upanga; Na wazao wake hawatashiba chakula.
Waovu wakiongezeka, maasi huongezeka; Bali wenye haki watayatazama maanguko yao.
Hata siku zile wanafunzi walipokuwa wakiongezeka hesabu yao, palikuwa na manung'uniko ya Wayahudi wa Kiyunani juu ya Waebrania kwa sababu wajane wao walisahauliwa katika huduma ya kila siku.