Na tazama, wakatokewa na Musa na Eliya, wakizungumza naye.
Wakatokewa na Eliya pamoja na Musa, nao walikuwa wakizungumza na Yesu.
Na tazama, watu wawili walikuwa wakizungumza naye, nao ni Musa na Eliya;
Nao walikuwa wakizungumza wao kwa wao habari za mambo hayo yote yaliyotukia.