Jinsi zilivyo nyingi fadhili zako Ulizowawekea wakuchao; Ulizowatendea wakukimbiliao Mbele ya wanadamu!
Mimi ni mwenzao watu wote wakuchao, Na wale wayatiio mausia yako.
Wakuchao na wanione na kufurahi, Kwa sababu nimelingojea neno lako.
Wakuchao na wanirudie, Nao watazijua shuhuda zako.