Asa na watu waliokuwa pamoja naye wakawafuata mpaka Gerari; nao wengi wakaanguka wa Wakushi hata wasiweze kupona; kwa sababu waliangamizwa mbele za Bwana, na mbele ya jeshi lake; na hao wakachukua mateka mengi sana.
Ambao waliangamizwa Endori; Wakawa samadi juu ya nchi.
Lakini wengi sana katika wao, Mungu hakupendezwa nao; maana waliangamizwa jangwani.