Esau akamwambia Yakobo, Tafadhali, unipe hicho chakula chekundu nile, kwa kuwa ninazimia mimi. Kwa hiyo walimwita jina lake Edomu.
Walitazama, lakini hakuna wa kuokoa; Walimwita Bwana, lakini hakuwajibu.
Walipiga yowe, lakini hakuna wa kuokoa, Walimwita Bwana lakini hakuwajibu,