Skip to Content

"waliolala"

5 mara katika SUV

makaburi yakafunuka; ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala;

Na hapo wao nao waliolala katika Kristo wamepotea.

Lakini sasa Kristo amefufuka katika wafu, limbuko lao waliolala.

Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini.

Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye.