Skip to Content

"waliotumwa"

5 mara katika SUV

Wakawafuata mpaka Yordani; na kumbe! Njia yote ilikuwa imejaa mavazi na vyombo, walivyovitupa Washami, wapate kukimbia upesi. Watu wale waliotumwa wakarudi, wakamwambia mfalme.

Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii, na kuwapiga kwa mawe wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi nimetaka kuwakusanya pamoja watoto wako, kama vile kuku avikusanyavyo pamoja vifaranga vyake chini ya mabawa yake, lakini hamkutaka!

Na wale waliotumwa waliporudi nyumbani, wakamkuta yule mtumwa ni mzima.

Na wale waliotumwa wakaenda wakaona kama alivyowaambia.

Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo.