2 mara katika SUV
Kisha ikawa, hapo wana wa Israeli walipomlilia Bwana kwa sababu ya Midiani,
Yakobo alipokuwa ameingia Misri, na baba zenu walipomlilia Bwana, ndipo Bwana akawapeleka Musa na Haruni, nao wakawatoa baba zenu kutoka Misri, wakawakalisha mahali hapa.